Wednesday, May 24, 2017

ALICHOKISEMA KIKWETE ALIPOKUTANA NA SAMATTA UBELGIJI


Rais mstaafu Jakaya  Kikwete akutana na Mchezaji wa Kimataifa wa Kitanzania Mbwana Ali Samata mjini Brussels Ubelgiji

Kikwete ameeleza kuwa amekutana na Mwana soka Kipenzi cha Taifa la Tanzania
Kikwete alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi kama Mwenyekiti mwenza Baraza kuu la wakimbizi duniani.



No comments:

Post a Comment