Bwa Bull alikuwa akichaji simu yake wakati alipigwa na umeme
Richard Bull, mwenye umri wa miaka 32 alifariki wakati chaji yake ya aina ya iphone ilipoguza maji aliyokuwa akioga nyumbani kwake huko Ealing, mashariki mwa London.
Kifo chake kilitajwa kama kilichotokana na ajali.
Makundi ya kampeni yamekuwa yakiwashauri watu wasichaji simu karibu na maji.
Richard Bull
Kisa hicho kimechangia kuangaziwa kwa hatari zinazosababishwa na vifaa vya umeme hasa wakati viko karibu na maji.
Idara ya usalama unayosika na kuzuia ajali inawaonya watu ikiwataka wasitumie vifaa vya umeme kwenye bafu.
No comments:
Post a Comment