Thursday, March 23, 2017

Kamera za usalama zaanza kuwekwa Barabarani



















 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mafundi wakiweka Security Camera katika sehemu mbali mbali za Mji wa Unguja,Camera hizo zitaweza kufanikisha kuonekana kwa matukio mbali mbali ya Barabarani ikiwemo ajali pamoja na matukio us Uhalifu.

No comments:

Post a Comment