Monday, February 20, 2017

PICHA:JOKATE ALIVYOKUTANA NA JAY Z NA BEYONCE, ASEMA HAKUAMINI KILICHOTOKEA

Kukutana na Jay Z na Beyonce ni suala gumu, kukutana nao na ukashikana nao mikono na kuzungumza mawili matatu nao ni suala gumu zaidi. Lakini bahati hiyo ya mtende imeamuangukia mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo Jumapili hii.

Siamini: Jokate Mwegelo akisalimiana na Jay Z huku mtoto wake, Blue Ivy akiamtazama kwa makini. Pembeni yao ni Queen Bey

Jojo amefanikiwa kukutana na The Carters wakiwa na mtoto wao, Blue Ivy kwenye mchezo wa NBA All-Star Game uliofanyika Jumapili mjini New Orleans, Louisiana kwenye uwanja wa Smoothie King Center.

โ€œSo NBA Africa took me courtside and I haaaaaaad to say hello to the Carters,โ€ ameandika Jokate.

โ€œOMG ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. @beyonce is super cute and I canโ€™t believe she shook my hand and was like nice to meet you. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿค—๐Ÿค—. I was like wait I need a picture, I came all the way from Tanzania for this B ๐Ÿ˜•. Sheโ€™s so sweeeeeet and Iโ€™m so lucky lmao,โ€ ameongeza.

โ€œThank you @beylite @balleralert for this pic I couldnโ€™t snap one as I was shocked and still in disbelief. ๐Ÿ˜ณ #Beyonce #Beylite #NBAAfricaGame #NBAAllStar #Kidoti ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.โ€

No comments:

Post a Comment