Haruna Niyonzima kufunguka akisema hakuwahi kuwa mapenzini na msichana huyo licha ya kwamba kazungumza kwenye vyombo vya habari.
Aidha, kuhusu mkewe kulisikia hilo alisema haikuwa rahisi kuchukulia kawaida ingawa ni muelewa na alijaribu kuelewa jambo hilo.
No comments:
Post a Comment