
Dogo Mfaume alitumbukia kwenye janga la madawa ya kulevya na baadaye kuanza kupata matibabu ya kuondokana na matumizi ya madawa hayo kupitia kituo cha "Back to Life Sober House" kinachoendeshwa na Pilli Missana kilichopo Kigamboni Dar es Salaam.
Mungu amlaze mahali pema peponi Dogo Mfaume.
No comments:
Post a Comment